Makosa ya Upatanisho wa Kisarufi Katika Ujifunzaji wa Lugha ya Kiswahili Katika Shule za Upili Wilayani Kasese.
Utafiti huu ulilenga kuchunguza makosa ya upatanisho wa kisarufi miongoni mwa wanafunzi wa shule za upili wilayani Kasese. Utafiti huu ulijihusisha na ujifunzaji wa lugha ya Kiswahili kama lugha ya pili katika mazingira ya lugha ya kwanza ya Kikonzo. Makosa ya upatanisho wa kisarufi yalibainishwa, k...
Saved in:
Main Author: | Baluku, Joel |
---|---|
Format: | Thesis |
Language: | English |
Published: |
Kabale University
2025
|
Subjects: | |
Online Access: | http://hdl.handle.net/20.500.12493/2789 |
Tags: |
Add Tag
No Tags, Be the first to tag this record!
|
Similar Items
-
Dhima Ya Nyenzo Ka Tika Ufundishaji Na Ujifunzaji Wa Kjsw Ahili Ka Tika Shule Za Upili Ka Tika Muni Sp Ali Ya Kabale.
by: Ahereza, Promise
Published: (2024) -
Mchango wa Fasihi Andishi ya Kiswahili Katika Kukuza Stadi za Uandishi Lugha ya Kiswahili kwa Wanafunzi wa Shule za Upili Katika Munisipali ya Kabale Wilayani Kabale.
by: Kyasimire, Loyce
Published: (2025) -
Mchango Wa Methali Za Kiswahili Katika Kukuza Umilisi Wa Lugha Ya Kiswahili Kwa Wanafunzi Wa Shule Za Upili Wilayani Ntungamo.
by: Katsigaire, Joshua
Published: (2024) -
Changamoto Za Mtalaa Mpya Katika Ufundishaji Wa Lugha Ya Kiswahili Kwa Walimu Shule Za Upili, Wilayani Kasese.
by: Biira, Janet
Published: (2024) -
Safiri Wa Pikipiki Unavyosawiri Ujifunzaji Wa Lugha Ya Kiswahili Nci-Uni Uganda.
by: Turinawe, Alex
Published: (2024)